mi mpaka muda huu kichwa kina uma nimechukua umeme wa 10000 nimepewa unit 8 halaf nikabaki na2kana barabara nzima baada ya hasira kupoa nilijickia aibu xana
we mazaa yaani nipo kitandani lakin umenipandisha genye mi nipo 24 na fursa kama hzi huwa mi napenda sana na pia mi ni dereva wa magari mabovu ambapo hisia zangu zote hugonga mwamba hapo ki ukweli mi ni mpenzi sana wa majimama hata kama halina mvuto huwa napenda sana kuyaburuza na hapo ndipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.