Mamlaka ya Maji ya Dodoma (DUWASA)
Kuna maeneo yapo mjini Dodoma hususani maeneo ninayoishi (MKONZE) mwanzo tulikuwa tukipata maji ila toka mwaka huu umeanza maji hayafiki kabisa kisingizio kuwa pressure ya maji ni ndogo tumejaribu kufuatilia kwenye mamlaka husika wakafanikiwa kuchimba kisima...
Biashara hizi ukiwa unaomba uwakala wanahitaji tu uwe na kianzio cha 2M ndipo wakupe machine (Pos)
Kwa ushauri ili uweze kumudu hizi biashara lazima uzingatie hivi.
1. Mtaji
Walau ukiwa na 10M itakusaidia kwa mzunguuko wa siku nzima haitokupeleka bank mara kwa mara kutoa float au kuchukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.