Nitafurahi ikiwa hivyo na kibabu Biden kiwekwe ndani kwa matumizi mabaya ya pesa za umma maana kibabu wakati kipo vice president, Trump alikuwa anamshutumu sana kuwa mwanaye Biden alikuwa na contract/project na jeshi la Ukraine na hili la Russia kuitandika Ukraine kibabu kimefura kwa hasira na...
Walikuwa wanataka waiadhibu Irani kwa kukiuka mikataba waliosaini alafu eti mwishoni mwa majadiliano ndio wanakumbuka Trump aliondoa hayo makubaliano na ndio maana wameshindwa kutoa maamuzi. Hii UN ni ya kijinga sana
Silaha pekee iliyobaki ya NATO kuitawala dunia ni sanctions. silaha ya sanctions imeshapitwa na wakati na ndio maana nchi nyingi sasa zinataka kujiunga na BRICKS Ili kuachana na ukoloni mamboleo wa marekani na NATO
Kukata huu mjadla. Kwa kifupi ktk hii dunia hakuna nchi inayoweza kupigana vita (one to one) na Russia ikashinda. Hakuna nchi inayoweza kuishinda Russia in battle field on one to one. Ninasisitiza HAKUNA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.