Hata me imenishangaza kidogo kuna nini mbaka leo hii kipindi hichi cha uchaguzi ndio anaona haya mambo ana wasiwasi na nini? Kipindi chote alichokua madarakani hakuongerea iweje dakika za mwisho ndiyo anaona hili jambo tafakari!
Walikuwa wapi muda wote! Leo ndiyo wanakumbuka kufufua baada ya kuona Lowasa ameongelea na ccm kuwa na hali mbaya kisiasa Arusha wanajaribu kutulainisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.