Wapendwa mimi ni msichana wa miaka 23 natafuta kazi ya kuuza duka liwe la nguo, vipodozi au vitu vingne. elimu yangu kidato cha nne naishi mabibo dar-es-salaam. mshahara uwe kwanzia 250,000 kwenda juu kulingana na kazi yenyewe , ninalugha nzuri kwa watu wote.
mawasiliano:0654 943 124...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.