Shida ya mfumo huu ata akiingizwa kijana au mzee wanageuzwa kuwa chawa kwanza kwa hiyo ni kweli katiba mpya na mageuzi ya mifumo ni muhim sana kulitoa hili taifa hapa.
Ukweli ni kwamba nchi yetu ni masikini sanaa yaan sanaaa, ila hatuna la kufanya maana ndo nchi wameshajikabidhi na kuidhibiti watu wasio na uwezo wa kusogeza popoye zaidi, zaidi ya asilimia 90 ya watanzania ni masikini zaidi asilimia 70 ni ombaomba, prove me wrong. Ndio maana CCM haitakaa...
Mimi mfano wa kiongozi mzuri nchi hii ni Lissu tu, familia ipo uhamishoni kutokana na mlichomfanyia na mzalendo wenu jiwe, na pia mnachokifanya sasa na mama enu kuteka na kuwapoteza wakosoaji na wasema ukwel wa taifa hili. Kwa roho ya uzalendo aliyonayo ameamua kuja kupambana mwenyew bila...
Yaan unatwambia unafikiri , halafu ndo unafikiria hivi kwamba wala rushwa waliojaa tamaa ndo wanahaki ya kukaa kwenye chama halafu mzalendo alieweka maslahi ya taifa mbele bila tamaa ndo afukuzwe? Kweli CCM ni wasengerema sana na akili zao zimejaa mavi. Tafuta akili ya kufikiri usitupostie mavi...
Mtaji wa CCM ni umasikini na ujinga bila hivi sisiem haiwez kuongoza hili taifa, kwa idadi ya watu tulionao huezi kosa watu wenye vipaji vya kucompete kwenye mashindano ya olympic, tatizo kuu ni umasikin wa makusudi tunaosababishiwa na CCM, ukitaka kufa na njaa kirahis tz invest kwenye michezo...
Tatizo la nchi yetu linaanzia hapa, hatujui tunachohitaji, ukweli ni kwamba hatuhitaji mtu bora ila tunahitaji mfumo wa kuongoza nchi uwe bora, mfumo ukiwa wa hovyo hata uweke mtu bora kias gan haichukui round mnaanza kumrushia tena mawe, kwa sasa nchi inaumizwa na mfumo mbovu na wenyew watu...
Mim ningeweka ya tz lakin nchi yang haina lolote la kunifanya niitukuze, imebarikiwa raslimali nying ambazo wakoloni wenzetu wanazifuja ovyo nakusababisha tuish kama vile jangwan
Nipo ulaya miaka miwili sasa nakazia hii kauli bora uwe mbwa ulaya kuliko binadam kuwa mtumishi wa umma au mfanya biashara wa kawaida bongo. Tusiishie kulaumu hizi kauli tuchukue hatua nasis kupafanya bongo mahali pazuri kuishi kama walivyofanya huku wenzetu mbona tuna nchi nzuri M/Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.