Hapo, naona watu wanapigwa tu. Kama issue ni software, watu wangepatiwa bure na tra, maana wanatakiwa tena kulipa kodi baada ya kutoa hizo risiti. Tra ingesimamia zoezi hili kwa umakini ili kuepuka watu kulipishwa mahela mengi kwa ajili ya software
Kiwanja kimepimwa, kinauzwa tshs 2.8m kipo bujora ya Sengerema, ukubwa 17x40, kipo jirani na viwanja vya national housing. Kwa anayehitaji tuwasiliane kwa 0717250805
Kipo karibu na makazi ya watu, ila cjajua ni bujora ipi kwasababu siyo mwenyeji sana, ni viwanja vilivyouzwa kwenye mradi wa UTT, kipo jirani na viwanja vya national housing
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.