Wakuu Mimi ni kijana mpambanaji na mwaka huu nilitaka kujikita katika kilimo Cha mpungaa kwa umwagiliaji na nimependekeza kulimia Kapunga/morogoro
Hivyo basi naombeni muongozo katika hio
a. maeneo ambayo ni mazuri
b.Upatikanaji wa mashamba
c.Gharama zake kuanzia
d.Mbegu
e.mbolea
Pia kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.