Mimi si mtaalam wa utabibu. Lakini alichotuandalia Prof. Janabi na nikilinganisha nilichookoteza kwa wataalam wengine na international media nimeelimika mno. Kudos kwa prof. umetupa elimu ya bure kabisa.
Sijawahi kuacha kusoma andiko lako na mara nyingi ulihifadhi kwa ajili ya rejea.
Mungu amekubariki na kukujaalia akili nyingi mno.
Nakuhakikishia kamanda tupo tayari kwa utekelezaji.
No hate no fear.
Jamani tafadhari tusisafishe nyumba yetu na kufagilia uchafu kwa jirani.
Yale mauaji ya kimbali ya Rwanda na Burundi yalifanywa na mashetani wachache na si raia wengi walio wema.
Ushenzi ni ushenzi tu haijalishi rangi, kabila, cheo wala dini ya mtu. Mtu akiwa mshenzi na katili ni ngumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.