Recent content by Mbwa dume

  1. Mbwa dume

    Jinsi Dar es Salaam itakavyokuwa mwaka 2036 kwa mujibu wa Gemini

    Kwa utawala huu huu wa ccm?
  2. Mbwa dume

    Kuna muda mtu akiniuliza “ntaoa lini?” Kichwani kwangu naona ni sawa na mtu anayeniuliza "Ntapoteza furaha yangu lini?"

    Japo wewe sio ndugu yangu wala hatufahamiani ila kiroho safi Sikushauri kabisa kuoa(kama unapenda kuishi kwa amani bila presha) Kama ni kuzaa piga mimba mademu hata wawili wakizaa hudumia mpaka watoto wakue uwasomeshe basi. Ila suala la kuoa au kuishi na mke Sikushauri kabisa(japo mimi nina mke)
  3. Mbwa dume

    Mke wangu, Umetafuta adhabu umekosa hadi umeamua kuniadhibu hivi?

    Huyo jamaa atakuwa ni ex wake walisoma wote secondary au chuo
  4. Mbwa dume

    Kwanini wapenzi wakionekana pamoja barabarani watu wengi wanawashangaa ?

    Mimi huwa nashangaa kwa sababu naona mwanaume mwenzangu anatapeliwa hadharani
  5. Mbwa dume

    Hivi ile dawa iliyovuma sana ya Ngetwa ilipotelea Wapi watu waliinywa hadi basi

    Halafu walikuwa na masharti dawa ikae kwenye fridge muda wote Nakumbuka nilienda pale Buguruni sheli kwenye office yao ya dr Rahabu jengo la Kisiriri pharmacy nikaambiwa dose ya vidonda vya tumbo ni laki nne(kwa miaka hiyo ni hela nyingi) Cha ajabu sikupona kama wale waliokuwa wanatoa shuhuda...
  6. Mbwa dume

    Hivi ile dawa iliyovuma sana ya Ngetwa ilipotelea Wapi watu waliinywa hadi basi

    Matunge alikuwa noma eti alikuwa anatangaza ana dawa ya mvuto wa mapenzi🙄
  7. Mbwa dume

    Kisa cha mwenye nyumba

    Halafu kaenda kuishi ukweni duh..!
  8. Mbwa dume

    Mnatuambia tusioe wakati nyie mmo kwenye ndoa, mnamaanisha nini?

    Wao walioa zamani wale wanawake wa kizazi kilichopita ambao walijua kujishusha Ila hili toleo la wanawake wa sasa wajuaji wa kila kitu wasio na adhabu wala utii kwa mume hawa usijaribu kuoa kabisa kama una mpango wa kuishi maisha marefu
  9. Mbwa dume

    Katika kitu ambacho naona si cha kufumbiwa macho ni Mapusha, wanajulikana walipo muda wowote, Shida inakuja wapi kuwaondoa mitaani?

    Acha kuharibu biashara na starehe za watu wewe nchi yenyewe imejaa stress mingi na maisha magumu acha watu tuvute bange tupunguze mawazo
  10. Mbwa dume

    Ukweli gani mgumu umekubaliana nao baada ya kuwa mtu mzima?

    Kwenye maisha ya sasa ukiamua kujiripua ukaoa ujue kutombewa ni wajibu ambao huwezi kukwepa tena utatombewa na wale watu ambao huwezi kudhania kabisa
  11. Mbwa dume

    Ni sahihi kwa Mwanaume kwenda kulala ukweni?

    Akifika huko analiwa na ex wake yule bwana mdogo msaga mashine wa Kijiji ambaye walisomaga darasa moja😀
  12. Mbwa dume

    Siku hizi matapeli wanatapeli hadi wa Wakuu wa Mikoa? Kuna huyu kakamatwa na RC wa Tabora alikuwa anajifanya ni Mchengerwa

    Huyu mbona cha mtoto Kuna kale kajamaa kenye asili ya Zanzibar ambako miaka kadhaa nyuma kaliibuka kakajifanya afisa usalama wa taifa na kuwatapeli vigogo wengi wa serikali wakiwemo wakuu wa mikoa,wilaya, wakuu wa polisi na idara zingine Yule jamaa alikuwa mpaka na mihuri ya vitengo nyeti na...
  13. Mbwa dume

    Daah! Bora ningesoma

    Mie Bora nisingesoma tu Nikikumbuka vile viboko vya mwalimu wa hesabu nikikumbuka nilivyopambana nikawa nashika namba moja darasani halafu leo hii nimeishia kuwa muuza majeneza hapa Dodoma! Nachoka kabisa mimi😀
  14. Mbwa dume

    Wanawake mnaopenda kulambwa mnatukosea sana

    Halafu serikali Iko kimya 😀
Back
Top Bottom