Japo wewe sio ndugu yangu wala hatufahamiani ila kiroho safi Sikushauri kabisa kuoa(kama unapenda kuishi kwa amani bila presha)
Kama ni kuzaa piga mimba mademu hata wawili wakizaa hudumia mpaka watoto wakue uwasomeshe basi.
Ila suala la kuoa au kuishi na mke Sikushauri kabisa(japo mimi nina mke)
Halafu walikuwa na masharti dawa ikae kwenye fridge muda wote
Nakumbuka nilienda pale Buguruni sheli kwenye office yao ya dr Rahabu jengo la Kisiriri pharmacy nikaambiwa dose ya vidonda vya tumbo ni laki nne(kwa miaka hiyo ni hela nyingi)
Cha ajabu sikupona kama wale waliokuwa wanatoa shuhuda...
Wao walioa zamani wale wanawake wa kizazi kilichopita ambao walijua kujishusha
Ila hili toleo la wanawake wa sasa wajuaji wa kila kitu wasio na adhabu wala utii kwa mume hawa usijaribu kuoa kabisa kama una mpango wa kuishi maisha marefu
Huyu mbona cha mtoto
Kuna kale kajamaa kenye asili ya Zanzibar ambako miaka kadhaa nyuma kaliibuka kakajifanya afisa usalama wa taifa na kuwatapeli vigogo wengi wa serikali wakiwemo wakuu wa mikoa,wilaya, wakuu wa polisi na idara zingine
Yule jamaa alikuwa mpaka na mihuri ya vitengo nyeti na...
Mie Bora nisingesoma tu
Nikikumbuka vile viboko vya mwalimu wa hesabu nikikumbuka nilivyopambana nikawa nashika namba moja darasani halafu leo hii nimeishia kuwa muuza majeneza hapa Dodoma!
Nachoka kabisa mimi😀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.