Recent content by mbussi

  1. M

    Natafakari tu, Dr. Nchimbi atapenda kufanya kazi na Mbowe au Lissu kama Mwenyekiti wa Chadema!

    Wewe baptist hujui siasa. Ulitaka Mbowe asiitike wito wa ikulu kipindi anatoka Segerea? Kwann hasiende? Kumbuka makovu ya siasa za mabavu za Magufuli. Kama Mbowe asingelikwenda kumulainisha Samia, pengine kauhuru tunakokaona leo kwa vyama vya upinzani kasingekuwepo. Ulitaka aendekeze siasa za...
  2. M

    Wanaoleta chokochoko kwenye Muungano, Uhuru unawalevya

    Swali gani hilo tena? Mapinduzi ya Zanzibar yalifanyika kumfukuza nani kama siyo sultan? Nini maana ya ukoloni? Hata kama biashara yao ya mwazo ilikuwa ni ya watumwa, lakini mwisho wa siku ni wao waliounda serikali.
  3. M

    Tanganyika iliitaka sana Zanzibar kuliko Zanzibar ilivyoitaka Tanganyika

    Wewe ndiye mwenye fikra finyu. Akili yako imeshikiliwa sehemu fulani, unaendekeza njaa kwa kulipima vivoucher ili uandike upuuzi. Nyerere hakuona kokote mbali. Aligubikwa na fikira za kijamaa kwa kutaka shirikisho la Africa Mashariki, matokeo yake akaambulia kuirubuni Zanzibar wakati huo wao...
  4. M

    Wanaoleta chokochoko kwenye Muungano, Uhuru unawalevya

    Umeandika upuuzi mtupu. Watu kama hamna cha kuandika msijidhalilishe mitandaoni. Mipaka yote unayoiona Africa imewekwa na Wakoloni. Kenya na Uganda wanaweza kuwa na nasaba zaidi ya hao Wazanzibar ambao wengine ni jamii za kiarabu. Uwezi kulazimisha muungano na Africa kusini sababu Wagoni wana...
  5. M

    Natafakari tu, Dr. Nchimbi atapenda kufanya kazi na Mbowe au Lissu kama Mwenyekiti wa Chadema!

    Wewe mwenyewe umetuambia CCM upanga safu ya uongozi ndani ya vyama pinzani, na ukatoa mfano kwa Zitto Kabwe, utaulizaje tena ili swali?
  6. M

    Natafakari tu, Dr. Nchimbi atapenda kufanya kazi na Mbowe au Lissu kama Mwenyekiti wa Chadema!

    Mbowe ndiye Abdul na mama yake? Najua mnajuwa fedha ilikotoka. Wameshidwa kuwarubuni mapapa ndani ya Chadema sasa wanaonga vijidagaa.
  7. M

    Natafakari tu, Dr. Nchimbi atapenda kufanya kazi na Mbowe au Lissu kama Mwenyekiti wa Chadema!

    Unapenda kuandika andika lakini kwa bahati mbaya huna kitu cha maana unachokiandika. Si kila mtu ndani ya Chadema anaongeka. Magufuli aliiwinda safu ya uongozi wa Chadema tena kwa fedha ndefu, aliambulia kuwapata watu kama Mwita Waitara na wenzie wanaotafuta uongozi kwa ajili ya matumbo yao...
  8. M

    Historia fupi ya mji wa ROMA

    Shetani anakaa wapi pale Roma? sema tukaongee nae. Na dunia ipi inateseka kwa kuwepo Roma?
  9. M

    Tetesi: Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa kusimamiwa na Waangalizi kutoka Vyama Vya Demokrasia Duniani

    Ni wanachadema tu ndiyo watakaohamua nani awe m/kiti wao. Hayo mengine mtateseka sana. Shughulikeni na mgombea ndani ya CCM wa kiti cha Urais 2025, form itakuwa moja au zaidi.
  10. M

    PreGE2025 Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti CHADEMA ni paka na panya

    Waganga wa kienyeji toka Lumumba mmeibuka siyo? Ni wapi Lissu kamshutumu Mbowe rushwa ya chaguzi za ndani Chadema?. Hotuba tumeisikia wote, fedha ya rushwa imetoka CCM kupandikiza mamruki kwenye uongozi Chadema. Kawashitukia na kuwapa makavu laivu.
  11. M

    Mdomo wa Lissu haujawahi kuwa na adabu wala hekima

    Wewe na Lucas ni wagojwa wa akili. Haya maneno yako yalifaa sana kuyasema kwa mropokaji Magufuli si kwa Lissu!!!
  12. M

    PreGE2025 Shujaa Magufuli hayupo lakini bado CHADEMA wanalia Chaguzi zao kuingiliwa kama Walivyoingiliwa Wabunge wa COVID 19, tatizo ni nini Hasa?

    Ni Uhuru wako kumuita Magufuli shujaa, lakini kwa wengine tunashidwa kuelewa ushujaa wa Magufuli unatoka wapi. Ni chama kipi kisichokuwa na matatizo ktk chaguzi zake? Lissu ni jasiri kwa kukemea rushwa ndani ya Chadema. Ni Jambo la heri. Chadema inaogopeka na chama tawala, hivyo wanatumia kila...
  13. M

    Mdomo wa Lissu haujawahi kuwa na adabu wala hekima

    Wewe ni mgojwa wa akili, huwezi kuargue na Bams hata kama yuko usingizini. Unakaririshwa kila kitu badala ya kutumia akili yako. Sijuhi unajuwa principle ya "wengi wape na wachache wasikilizwe"? Hakuna bunge lolote duniani ambalo huwa na kauli moja ktk kila jambo. Nasema kote duniani...
  14. M

    Mdomo wa Lissu haujawahi kuwa na adabu wala hekima

    Ni wale wasiyokuwa na akili kama wewe unaekataa kusikia ukweli aliousema Lissu. Ni uongo au kitu gani alichosingizia? Taifa likiwa na watu wanafiki kama wewe ni hasara
  15. M

    PreGE2025 Jinsi Rais Samia alivyomsaidia Lissu kutoka mafichoni

    Tanzania ikiwa na watu wengi wa aina yako, ni vigumu sana kujitambua kama taifa. Je, huyo Samia kumtoa huyo Tundu Lissu mafichoni ilikuwa hisani? Nakushangaa sana kama utofatishi dhuruma, uonevu na haki. Nchi hii ni ya kila Mtanzania na kila mtu ana haki zake kisheria, kisiasa na kiuchumi...
Back
Top Bottom