Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki kupitia chama Cha CUF, mhe.Mashaka Ngole ametoa msaada wa waya za umeme 2.5 bandle 2 jumla ya thamani 360000, sambamba na hilo mhe.mbunge ameahidi kuvuta na kuunganisha umeme katika shule ya sekondari Makongeni jimbo la MTAMBWE wilaya ya WETE PEMBA, Pia...
THE CIVIC UNITED FRONT (CUF-Chama Cha Wananchi)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MKUTANO WA HADHARA KESHO MAGOMENI KANISANI:
Mwenyekiti wa CUF-Chama Cha Wananchi Prof. Ibrahim Lipumba kesho Jumamosi Februari 11, 2023 anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye Mkutano Mkubwa wa Hadhara ulioandaliwa na Wilaya...
PROF.LIPUMBA
Kuunguruma February 11, viwanja vya Magomeni Morocco(stendi ya mwendokasi)
CUF- Chama cha wananchi wilaya ya Kinondini
Mkutano mkuu wa hadhara
Viongozi wakuu wa chama watakuwepo wakiongozwa na bingwa wa uchumi dunia Prof. Lipumba.
Usipange kukosa njoo tuisimamishe Kinondoni...
MKUTANO MKUBWA WA HADHARA
MWENYEKITI WA WILAYA YA KINONDONI CUF, MHE.RAJABU SALIM JUMA KUUNGURUMA SIKU YA JUMAMOSI.
MAHALI: MAGOMENI MOROCCO KITUO CHA MWENDOKASI
USIPANGE KUKOSA NJOO TUISIMAMISHE KINONDONI, NJOO TUIJAZE MAGOMENI.
#ChamaMakini
#ViongoziMakini
CuF- chama cha wananchi wilaya ya kinondini
Mkutano mkuu wa hadhara
Viongozi wakuu wa chama watakuwepo wakiongozwa na bingwa wa uchumi dunia prof.Lipumba.
Usipange kukosa njoo tuisimamishe kinondoni, njoo tuijaze magomeni.
#ChamaMakini
#ViongoziMakini
Breaking News!!!
Mhe.Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki Kupitia Chama Cha CUF, Mhe.Mashaka Ngole amekabidhi bettri ya gari aina ya N 70 kwa jumuiya ya wazee waliyoiomba kwa ajili ya matumizi ya gari ya ofisi.
Pichani kulia ni mhe.Kapasha Kapasha ambaye ni mshauri wa Mambo ya siasa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.