Recent content by Mbundumale

  1. M

    Jumuiya ya Wazazi/CCM Yamfukuza Mmoja na Kuwasimamisha Wengine Wawili!!

    Mnawaonea tu hao.Mbona mafisadi papa hamuwagusi??????. Hao waliokwapua mabilioni bank kuu hawajawaingiza hasara Watanzania??? Ccm acheni utapeli wa kisiasa.
  2. M

    Hivi bado kuna kambi za upinzani zaidi ya moja Bungeni?

    Hahahahhahaha ileje umemjibu vizuri sana kamanda.Kambi rasmi ya upinzani ni hii inayoongozwa na Mbowe ile ya Cheyo na Mrema ni ya wasaliti na vibaraka wa ccm na watawala. Wasalimie sana Yenzebwe, mlale,Ndola,chitete, Itumba, Luswisi, ikinga,Isongole nk.
  3. M

    ZITTO: Serikali 3 zitaleta uwazi zaidi

    Mbunge wa kigoma kaskazini kupitia chadema mheshimiwa Zitto kabwe amesema kwamba serikali tatu zitaleta uwazi zaidi kwani hata sasa serikali ziliizopo ni serikali tatu kwani kuna wizara nyingi tu kama kilimo na tamisemi ambazo ni za Tanganyika pekee. Zitto anasema serikali 2 hazina tija kwa...
  4. M

    DK Kitila Mkumbo:Watawala wa nchi hii hawana tabia ya kusililiza maoni ya wananchi.

    Katika mdahalo wa Muungano ulioandaliwa na UDASA chuo kikuu cha Dar es salaam ,Dk kitila mkumbo amesema kwamba nchi hii watawala wa ccm hawana sifa wala tabia ya kusikiliza maoni ambayo siyo matakawa ya Ccm. Anasema kwamba kwenye tume ya Nyalali kuingia kwenye vyama vingi maamuzi yalikuwa...
  5. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 23 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge kwa sura ya 1 & 6

    Serikali tatu zikipitishwa bungeni, mbunge wa mbinga amesema kwamba ataingia msituni kupigania serikali 2. Cha ajabu maccm hayawezi kuita maneno hayo ni ya kichochezi ama yana hatarisha amani ya nchi.Maneno hayo yangetamkwa na ukawa ungesikia magamba na serikali kutoa tamko la kumshambulia au...
  6. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 23 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge kwa sura ya 1 & 6

    Captain John komba amemnanga sana jaji Warioba kwamba ni sawa na Uasi wa Adam na Eva kwa kujadili Muungano na tena kuja na serikali 3. Kweli ccm ni hatari sana.Kwa hiyo wanamtukana Warioba kiasi hiki??.
  7. M

    Mzirai ni mnafiki na mwanaccm aliyeficha sura yake

    Mzirai ni mnafiki wala si mpinzani.Amekubali kuwa mtumwa na mfuasi wa watawala yaani ccm.Huwezi kuhubiri serikali 2 zilizoboreshwa wimbo wa maccm ili yaendelee kutawala nchi hii. Hongereni sana ukawa.Mapambano yaendelee tu posho hazina maana sana kuzichukua kama mnakwenda kuandaa katiba ya...
  8. M

    Masikini UKAWA

    Nape mbona unatumia makalio kufikiri badala ya akili. CHADEMA na ukawa vinakuhusu nini??.Wewe pepeta maneno yako kwenye magamba huko huko na siyo kubwatuka kama mbwa aliyeona sungura aliyenona akiwa amefungwa mnyororo. Ccj ilikushinda mchumia tumbo.
  9. M

    Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

    Wewe ni gamba na hujawahi kuwa CHADEMA. Chadema hakuana watu wenye kujitoa ufahamu wa aina yako.Huna jipya,kachukue buku 2 lumumba.
  10. M

    Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

    kweli mkuu.Mtoa hoja gamba hilo.
  11. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Trh 15 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima kwa sura ya 1 & 6

    Mrema ni afisa usalama wa taifa wala siyo mpinzani. Ni mnafiki sana.Hana hoja.Anazungumza mambo ya bara bara na kukiuka hoja ya katiba mpya.Mrema anasuburi kiinua mgongo cha unaibu waziri mkuu cheo ambacho hakikuwepo na hakipo kikatiba.
  12. M

    Aliko Kibona, Mbunge wa Ileje tumechoshwa na uzembe wako

    Mbunge wa ileje mkoa wa mbeya ( Ccm) ametuchosha wananchi wa jimbo na wilaya ya ileje. Hukuchaguliwa kugawa nguo,kugawa sahani misibani, kugawa pesa makanisani nk..Ulichguliwa kupigania Ileje ipate maji,barabara ya lami,Madawa hospitalini,vitabu mashuleni,masoko ya mazao nk Kugawa sahani...
  13. M

    TBC mbona mnahoji upande mmoja ?

    Hii imeniacha hoi.safi sana.Nazionea huruma mbavu zangu
Back
Top Bottom