Recent content by Mbuly

  1. M

    Yaliyojiri Ubungo Plaza: Prof. Lipumba ametangaza nia ya kuchukua fomu ya kugombea Urais wa JMT

    Mbona hawa ukawa siwaelewi! kwa nini Lipumba katangaza nia kupitia chama chake? nilitegemea wataungana na kuteua mmoja tu.
  2. M

    Mwaunda kamati ya kuongeza posho?

    :confused: Big result now won't happen ng'oooooooooo
  3. M

    Kwanini rais na wabunge hawakatwi kodi?

    Mahesabu ya mfanyakazi na wa/biashara mbona tofauti ni kubwa sana! m/biashara lets say kwa mwaka analipa maxmum laki moja, halafu wewe unakatwa 150,000/= kila mwezi. jumla kwa mwaka 180,000,00/= uko wapi usawa hapo jamani?
  4. M

    Kwanini rais na wabunge hawakatwi kodi?

    Kusema kweli hata mi inaniuma sana, hapa hakuna usawa! kwa nini pia wafanyabiashara wanalipa kila mwaka badala ya kila mwezi ka wanavyofanya watumishi wengine waumma ambao hukatwa kila mwezi? there must be equal right and justice!
  5. M

    Uchaguzi

    Hivi utaratibu wa kupiga kura kuwachagua viongozi unaowataka mpaka urudi ulikojiandikishia? kwa nn kusiwe na mfumo wa kupigia kura sehemu uliyopo ilimradi tu umejiandikisha kama nchi za wenzetu! naomba maoni yenu wana JF maana mimi kupiga kura ni ngumu kulingana na hiyo sheria, tukiendelea hvo...
Back
Top Bottom