refer tabia za mkeo kabla hamjaoana, mlipooana na baada ya kuoana ni mtu wa tabia gaani? then utapata majibu, si kila walipo mwanaume na mwanamke wanatongozana na hata akitongozwa si lazima akubali, so kama ni changanyikeni ujue umeliwa otherwise it can be normal situation. (si unajua historia...
we vipi? ukipenda boga penda na ua lake kama unataka kum'fix subiri kama utaona vipi chapa mwendo, kuna msichana niliwahi kumtokea alikuwa ni mzuri kwa kweli. akanikubalia nilipomuomba sitara akadai kuwa muda si mrefu atasafiri kwenda mkoani masomoni so akinipa atakuwa ananikumbuka sana, so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.