Kwanza kwa mamlaka ya nani unaongea?eti sisi mwanasingida mashariki hebu onesha ushahidi unaoonesha hayo ndio wanyaturu wamekutuma useme hivo?kwanza unacheo gani hapo singida masharik?
Singida mashariki ipi unaizungumza?,bila shaka huenda una matatizo yako binafsi na bila shaka akili zako ni za kuazima. Pole sana.kwanza wewe utakuwa si mwanasingida na kama ni mwanasingida hujitambui.
Mungu ni mwema.Leo mashetani na misukule wanatafuta mahali pa kujificha .Bibilia inatuonesha wazi kuwa shetani hajawahi fanikiwa kuvunja mpango wa Mungu.Herode alipoangamiza watoto chini ya miaka 5 alidhani amemua Yesu hata wayahudi waliopomuua walidhani wameshinda lakn siku ya tatu alitoka...
walokutuma kuwa wamekosea njia.wanasingida mashariki tunajitambua .ikitaka kutuelewa vzr nenda sasa HV ueleze huu ujinga wako singida mashariki uone kitakachotokea.
Haya nayo ya mwaka.hii mamlaka kaitoa wapi ya kuzuia watanzania kujadili suala la Lissu? Lengo lake nini? Je! Hili jambo wanaliona kama jambo dogo sana?hana hio mamlaka.
Hawa jamaa watakuwa vibaraka,nadhani ndio wapiga meza wakuu pale mjengoni wakiunga mkono hoja hata kama ya kipuuzi.anaekujali wakati wa shida ndio nduguyo hvo hawa jamaa wanatakiwa wapingwe na kila mwanasingida Mwenye akili timamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.