Kwenye kitengo cha huduma kwa wateja bomu Nina mita haifanyi Kazi tangu 05/2022 nimewapigia mpaka nimechoka wanakula mtu anakupigia unaendelea kuwasiliana naye mwisho hapokei Simu Tena inaonekana ni dili anahitaji umwahidi rushwa
Mbona ni kote hata hii dawasco Tabata kituo Cha huduma kwa wateja ni bomu,nimepiga Simu zaidi ya Mara 20 tangu mwezi 5/2022 mita haisomi,wanawapa matapeli namba yangu ya simu then wanapiga Simu tutakuja kukubadilishia,ukiendelea kuwakumbushia kwenye namba iliyokupigia mwisho hawapokei,maana yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.