Una uhakika kwamba amekataa
Sasa kama.lowasa le.mbululazi na wewe tukwites nani lemudandaz nani hajui kama unatumwa na membe
Alafu usimgeluwa mpuzzi.usingemkataa mtoto uliezaa na sintah tu kuone mjanja unaleta hoja za kufikilia kimasaburii hapa na inaelekea wewe na familiaa yako pamoja.na hao...
Nikiwa namsikiliza bwana Ngeleja akitangaza nia. Ila upande wa parking na ndani.Watu wameletwa na mabasi.
========
William Ngeleja anatangaza nia ya kugombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi. Yote yanatokea moja kwa moja kutoka viwanja vya BOT jijini Mwanza. Ngeleja amekuja na kauli mbiu-...
Nimesikiliza hotuba ya Mh. Fredrick Sumaye akiomba ridhaa kwa Wanaccm wampe nafasi agombee urais.
Nimesikiliza hoja zake akijinadi na anasema yeye ndio alikuwa kiranja kwenye serikali ya awamu ya tatu. Anasema aliongoza na alikuwa mtendaji mkuu wa serikali kwa kipindi cha miaka 10. Maswali...
Najiuliza tu kama jamaa anasema yeye ndio alikuwa kilanja ajibu hayaa
1.alikuwa kilanja wa kununua rada ambayo ilichafua serikali ndani na nje
2.alikuwa kilanja wa sera mbovu ya ubinafsishaji iliotuletea na kusababisha mpaka leo viwanda vyetu kufa kubaki kama magofu tu
3.alouza Tbl na Nbc kwa...
mwanzoni tu naanza kusikia uvivu kuendelea kukaa hapaa kumsikiliza huyu mtu
Kunachoniboa hapa ni hii CV inayotajwa sidhan kama inaweza kumsaidia
Maana kutaja kuwa.ulikuwa head prefect wa secondary kuwa mchumi boraa sidhani kama inahusiana na matatizoo tulionayoo
Kweli kwenye cv kachemka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.