Recent content by mbonji monga

  1. M

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni jinsia gani ni MWANAUME au MWANAMKE?

    jinsia zote...alisema na tumfanye mtu(me&ke) kwa mfano wetu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Maisha ni ubatili! Mnataka kusema sisi wenye miaka 50 tumebakisha miaka 20 kuondoka hapa duniani kama umri wa Biblia unavyosema?

    ww unatakiwa utafute vitoto vya elf mbil::=hyo ndo legacy yako
  3. M

    JamiiForums Tanzania RC makonda akinukisha Arusha, shamrashamra za new year 2025 za fana.

    ww ni wa wap, ww mleta uzi huu? halafu ngoja waje wajuba wa chuga
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mungu nisaidie 2025 nipate mume niolewe

    wangapi munaohitaji?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Niliagiza chakula, ilivyokuja bili nusura nikimbie niwaache watoto. Umewahi kukumbana na fedheha hii?

    ukishaonba nn kinafata::=walaji ni watoto na ndo waagizani ebo!! unataka uwashikishe menu afu iweje au kshike ww iweje uwakataze kula vya bei(nn maana ya matembezi hapo?) FATA KILICHOKUPELEKA [emoji23][emoji23] Huyo cha mtoto Dar free market kuna mtu alikutana na za uso
  6. M

    JamiiForums Tanzania Traffick mtupime kuthibiti Pombe njian ♌ usiku huu kupunguza ajali....vijana wako bar Toka saa nane mchana

    mm npo hapa nakunywa na hao askari kwakweli::=shetani na mama mkwe wake vimeumana hapa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mzazi anakua tegemezi Kwa mtoto ambaye amejitafuta Kwa jasho lake bila kumrithisha hata mbuzi mmoja

    kaka acha jazba umeuliza lakini subiri, na kubali majibu::=ka majibu unayo usingeketa huu uzi... Nakutakia mwaka mpya
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mambo yatakayofanya uitwe mshamba

    Mleta uzi nadhani ungetueleza nn maana ya ushamba kwanza?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mambo yatakayofanya uitwe mshamba

    [emoji1787][emoji1787]
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hatari ya Kundi Kubwa la Vijana wanaolala Barabarani Sam Nujoma/Sinza Waangaliwe

    Ni sawa kukamatwa wote. Je, umewahi fikiri ni kina nani wanaolala? Je, ni mateja wala unga, walala hoi au vibaka, au maskini akina kabwela au ni timamu waliotelekezwa makwao au kufukuzwa kwa kukandamizwa haki zao? SIO KILA CHOKORAA MTAANI NI CHOKORAA KWELI. WENGINE WAMEUMIZWA NA WAZAZI AMA...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hatari ya Kundi Kubwa la Vijana wanaolala Barabarani Sam Nujoma/Sinza Waangaliwe

    dah huwa nawaonea huruma hawa jamaa, pale uhuru shure ya wasichana hutandikwa viboko na maafande wakichelewa kuamka halooo[emoji1787][emoji1787] Hii kitu ipo hata Kenya Nairobi na Mombasa wale watoto na vijana wala gundi aisee[emoji848]
  12. M

    JamiiForums Tanzania Je, Mahindi ya kuchoma ni salama kwa afya?

    Leta kitu uhakika na si nadharia wee...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Je, Mahindi ya kuchoma ni salama kwa afya?

    YOTE TISA, KUMI TULENI JAMANI. Wakati unakula kumbuka haka kawimbo!! aidama Yo Yo Yooo... aidama, aidama Yo Yo Yo aidama, aidama tuleni jamani aidama, aidama Yo Yo Yo aidama MADHARA YAPO KWA KILA KITU
  14. M

    JamiiForums Tanzania Je, Mahindi ya kuchoma ni salama kwa afya?

    inafikirisha. unasabababu ya kwanini umeuliza mpaka hapo, mahindi pekee na si viazu au mihogo ya kuchoma? tule jamani zaidi huwa yanashikwa shikwa kupata laini ama gumu kwa wengne(hapa huwa wananiacha hoi, maana kuna wengne wanashka na vimavi mavi vyao tunawastahi tu [emoji848]
Back
Top Bottom