Mamoboi naingana nawe kwa asilimia 100%, hali iliyopo Igunga ukifuatilia kwa umakini utakuta mgombea huyo wa CUF ndo anatajwa zaidi, na tangu jimbo limekuwa wazi yeye na MAHONA na timu za oganaizesheni za CUF wamekuwa ndani ya jimbo. Faida kubwa aliyonayo Mahona ni kuwa;
Amegombea ubunge mwaka...
UDSM unayoiongelea ni ipi? kila mtu alikuwa UDSM bradha,
Mtatiro ni jembe na watu wanamuamini, sema tu humu JF kuna baadhi ya watu kama wewe ambao wanataka watu fulanifulani tu ndio wapewe credit.
Mimi nimemfahamu mtatiro katika harakati zake na hata hizo enzi za DARUSO, alim_outnumber...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.