range ya ada ni 980k-1.3M inategemea lkn hostel napo sikushauri maana anaweza akapata taaaabu sana tfu za kijedah lkn kama una ndugu ni heri akawa day scholar ila hostel pekee ni 1.4-1.5 M
shule za jeshi mfano jitegemee,makongo kizuka airwing kwa masom ya art wako vzur na ada zao ziko chini sana pia hata 3000 wao wanapokea yaani unalipa kidogokidogo nmesoma huko lakin kwa sayansi nsidanganye fanya utafiti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.