Haohao wajumbe sikuizi huwa wanadilisha gia angani hiyo nimeishuhudia kigoma wakati wa kura za maoni baruani muhuza alijuwa kwa nguvu aliowekeza lazima apite kumbe wajumbe walikuwa wanamchora tu alipokuja muwekezaji zaidi yake chali
Unajidanganya mkuu na nionavyo wewe hujawahi hata kupiga kura nimeshuhudia kwenye chaguzi sio mara moja watu wanabadilisha mawazo kwenye foleni ya kupiga kura kwa kupewa vipande thelathini vya ngawila
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.