Recent content by mboji

  1. M

    Yanga inalindwa kama Benki na timu rafiki

    Benchi litamtowa roho
  2. M

    Kamanda Mbowe ashauriwe kupokea simu, nyingi ya hizo zina jumbe zake muhimu kwa mustakabala mwema wa chama!

    Haohao wajumbe sikuizi huwa wanadilisha gia angani hiyo nimeishuhudia kigoma wakati wa kura za maoni baruani muhuza alijuwa kwa nguvu aliowekeza lazima apite kumbe wajumbe walikuwa wanamchora tu alipokuja muwekezaji zaidi yake chali
  3. M

    Sijawahi kumsikia Mbowe akizungumzia Katiba Mpya ya JMT, Nadhani hicho siyo Kipaumbele chake bali ni Kipaumbele Cha Chama!

    Kwaiyo pesa zetu tulizotowa kukusanya maoni kwa akili ya katiba mpya ziwe zimeenda kusikojulikana
  4. M

    Mzee Mbowe ni Mhaini kama wahaini Wengine tu

    Kwamba hukumskia yeye mwenyewe kwa kauli yake mbele ya waandishi kuwa huwa anakikopesa chama?
  5. M

    Kamanda Mbowe ashauriwe kupokea simu, nyingi ya hizo zina jumbe zake muhimu kwa mustakabala mwema wa chama!

    Unajidanganya mkuu na nionavyo wewe hujawahi hata kupiga kura nimeshuhudia kwenye chaguzi sio mara moja watu wanabadilisha mawazo kwenye foleni ya kupiga kura kwa kupewa vipande thelathini vya ngawila
  6. M

    PreGE2025 Lissu apinga tuzo aliyopewa Samia na kusema kuwa huo haukuwa uamuzi wa Chama bali maamuzi binafsi ya Mwenyekiti, ataka ahojiwe

    Ndio maana sasa watu wanasema mwenyekiti bado ameganda kwenye siasa za kikwete wakati ccm uko haipo tena
  7. M

    PreGE2025 Lissu apinga tuzo aliyopewa Samia na kusema kuwa huo haukuwa uamuzi wa Chama bali maamuzi binafsi ya Mwenyekiti, ataka ahojiwe

    Akiwa yeye na nani? Maana maamuzi huwa yanatolewa na vikao vya kamati kuu kamati kuu haijatia baraka zake halafu unasema hoja nyepesi
Back
Top Bottom