Chakula kinaonekana kitamu mnooooo lkn ili kiwe kitamu zaidi maelezo ni muhimu kwani wengne pizza twazickia ktk movie zikitajwa ila hatujawahi ziona wala kuzila huju kijjn kwetu
Kweli mapishi ni ubunifu tu lkn ubunifu huo unahitaji angalau ujuzi japo wa kushudia tu nn kinatendeka ktk uandaaji mzima bila hivyo changamoto ni kubwa zaidi
Ni ule uji au mchanganyiko wa sukari na maji kiasi unaoandaliwa kwa ajiri ya kuungia visheti vikishaiva ili vipate sukari ile unayoionaga inagandia juu ya visheti.
Ngoja waje wenye maelezo mazuri utaelewa tu.
Pia nilijaribu kupika lkn sukari ndo majanga namna ya kuifanya igande ktk visheti,,mweeee mapishi haya ni fumbo kubwa mno.
Sio mbaya nikipewa ufafanuzi ktk maswal yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.