Hakuna cha kukata pumzi labda mungu amchukue
Hii ndiyo spidi inayotakiwa na hatuamini cz haijawahi tokea just tumuombee ili awe na nguvu ya kuendelea kuyasimamia haya aliyoyaanza
Dah kaka hapo mnaenda kitakwimu zaidi kuliko ukweli halisi nenda manispaa ya kinondoni kwa afisa elimu kakusanye data then ruksa kujudge
Hata wakati wa MMEM hawajawahi leta hela kama hiyo labda kwa shule ambazo zilikua katika ujenzi.MM nimekwambia laki nne hauamini
Kaka unaendeshaje shule ya wanafunzi 2500 kwa capitation ya sh laki 4 kwa mwaka?? Afu msingi na sec ni tofauti na hivyo vi tution ndivyo vilivyokua vinafanya dar iongoze kitaaluma kwa std seven
Kwa wasiojua undani wa elimu yetu ya kinyonge watafurahi sana but kama kweli wanauchungu na watanzani inakuaje ada kwa shule binafsi zinapanda kila kukicha? Mwalimu akijilipa posho mwenyewe inakua nongwa wakati mbunge anayelipwa mamilioni kila mwezi, awapo bungeni analipwa posho hii imekaaje?
Hivi inawezekana vp ndani ya miaka mitano mbunge alipwe pension sh. Mil 230 wakati wafanyakazi wengine wanaitumikia serikali kwa zaidi ya miaka 20lakini malipo yao hayafikii hata nusu ya hela hiyo
Au labda upeo wangu mdogo hebu tulijadili hili suala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.