muda ni mali bwana>Unapoitwa kwenye interview nafikiri huwa unapigiwa simu,kama umeambia ufike then muda wako haukuruhusu kwaniniusiombe muda mwingine wa interview.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA KAZI NA AJIRA
TAARIFA KWA UMMA
TAMKO LA SERIKALI KUHUSU KUSITISHA UTARATIBU WA KUKODISHA WAFANYAKAZI UNAOFANYWA NA BAADHI YA WAKALA BINAFSI WA HUDUMA ZA AJIRA
1. Wizara ya Kazi na Ajira imekua ikipokea malalamiko toka kwa wadau mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.