IFIKE HATUA TUWE NA HOFU YA MUNGU.... aya Tangu JPM kafariki, nafikiri unashuhudia yanayotokea sasa hivi, upigaji wa pesa, ujambaz nk.. mbona kipindi cha JPM mambo haya yalitulia kabisa..sasa watu wanaibiwa mchan kweupe,,, watu wanajilipa posho za mallion hilo nalo unaliongoleaje
Agree with you... Bado sijaona kama itatokea ck moja wakashinda na kuitawala nchi hii...kwanza democrasia ianzie humo ndan kwao , waanze na kumpatia nafasi ya Mwenyekiti , mwanachama mwingine... Maaana aliyepo anajiona Mungu mtu, nkubki kumpK MATOPEJPM while ndan yao wamejaa udhalimu, ufisadi...
Magufuli alishawaambia mapema ni madudu gan yaliyokua yakiendelea ndan ya serikali... huu ni mwanzo tu ..makubwa yaja na alisema ipo siku mtanikumbuka, ni muda mchache sana umepita tangu afariki, tunashuhudia ujambazi kurudi kwa kasi, madawa ya kulevya, watu wanapiga dili sasa kwa kwenda mbele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.