Recent content by Mbarikiwa0890

  1. M

    IGP Sirro akawakanye askari wake. Siyo salama askari kukabiliana "kivita" na wafuasi wa upinzani. Tusirudie makosa yaliyomuua Akwilina

    We mpuuzi inaonekana hata hujaelewa alichosema. Tanzania hii wanatuonesha nini wakivaa kama wanaenda vitani? Na sio mahakamani tu, kwenye mikutano yao tunaona mijamaa imejitwika mabunduki huku watoto wadogo wanaona. For what? Sasa hivi kila kiongozi ana bodyguard hapo nyuma anambambia, ya nini...
  2. M

    CHADEMA kuweni na shukrani, punguzeni kulalamika, shukuruni kwa yote. Ile kesi mbaya! Shukuruni mahakama, Mashinji, CCM, Magufuli na Watanzania

    Hili Bandiko ni kwa wale wenye akili zetu za kuzaliwa ndio tunaelewa. Hivi hivi hutoboi
  3. M

    VIDEO: Tundu Lissu anena mazito baada ya hukumu ya viongozi wa CHADEMA

    Nadhani huijui shughuli ya mzungu wewe.
  4. M

    VIDEO: Tundu Lissu anena mazito baada ya hukumu ya viongozi wa CHADEMA

    Hahah, sasa karopoka nini hapo. Au ni nini alichosema ambacho sio cha ukweli hapo. Wabongo sijui tuna shida gani
  5. M

    Ni upotoshaji kusema ndege za ATCL zimelala na hazifanyi kazi, Ndege zina miruko zaidi ya mara kumi na tatu kwa siku

    JokaKuu, Watu wachache wataona hili. Kuna watu nilikuwa nikiwaambia mpaka kufikia 2030 ATCL itakuwa imekufa tena. Malengo ni mazuri ila namna iliyotumika kufufua shirika kwa spidi hii haitaweza kuhimili kujiendesha
  6. M

    Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

    Asante mkuu...hivi mfano wanawake 10 wakimkamata kwa nguvu mwanaume 1, na kujiingilisha kimwili,,hii inaitwaje kwa kiswahili fasaha tena? Au situation kama hiyo hapo juu inaitwaje? Nisaidie ndugu yangu ili tumalize utata huu wa mpishano wa mawazm
  7. M

    Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

    Samahani, ningependa kufahamu kiswahili fasaha cha maana halisi ya neno "Kubakwa.."
  8. M

    Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

    Kichwa kuuma, shingo, kukohoa kidogo, sikuvimba tezi ila misuli ya tezi shingoni ilivimba, skin Itching, appetite ilipungua,,,na nyingine ndogo ndogo. Nilipokwenda hospital na kukutwa na UTI, Doctor aliniambia bacteria walisambaa sana mpaka wakaingia kwenye damu, hivyo baadhi ya dalili...
  9. M

    Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

    Habari...mimi nipo mzima, sijajinyonga wala sijafa..ni kwamba tu niliamua kujitenga kidogo baada ya kuona napewa mawazo negative mengi kuliko positive..Nashukuru wote waliochukua muda wao na kunishauri lakini mi nimeamua nisiende kwanza kucheck na nisijihusishe na mahusiano yoyote ya kimapenz...
  10. M

    Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

    Thanx lots brus & sisters,,,,mwisho wa mwez wa pili i'll go for a test, niombeen tafadhal..ntawapa matokeo if its poz or neg
  11. M

    Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

    Sorry ndugu zang, nashukur sana kwa mlio2mia mda wenu kusoma & kureply kwny post yng, imenipa ahuen somehow but kuna baadh wamenihuzunisha na kuchukulia situation yangu kama utani,,but thanx a lot... nimeshindwa kureply kwa m1 m1, But this is all i have 2 say: 1. Hii si story ya kutunga...
  12. M

    Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

    Everything happened too fast,,dnt offend me please guys
  13. M

    Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

    Ndgu zngu, how i wish ningekuwa nmeitunga hii story,,kila nlichoandika humu is 100% PURE,,& yes a woman can rape u sio kwa maguvu but kwa nguv ya ushawish & i was trapped,,
  14. M

    Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

    Hallow wana JF, Naomba radhi kwa simulizi hii ndefu.. Mimi ni kijana, umri wangu ni kati ya 25-30. Ni mhitimu wa chuo kikuu. Ni msaarabu, najiheshimu na napenda maendeleo. Nipo kwnye mahusiano imara, japo tupo mikoa tofauti na tupendana sana na girlfriend wangu & recently tumeanza taratibu za...
Back
Top Bottom