Recent content by MBAKI-MTEULE

  1. M

    msaada wa simu yangu wana jf aina ya simu ni tecno p5

    samahani ndugu zangu simu yangu inasumbua upande wa meseji huwa zinaingia bila kikomo unakuta sms ya majuzi niliyosoma na nikajibu inakuwa bado inaendelea kuingia yaan mpaka ninechoka kama kuna mtu anafahamu setting yake ajize wana jf simu yangu ni tecno p5 phone namba yangu 0719560330
  2. M

    Utofauti kati ya clinical medicine na clinical officer

    samahani wadau nilitaka kujua utofauti kati ya clinical medicine na clinical officer. kwasababu vyuo vingi ukiseach for clinical officer but ukija kuangalia course za hicho chuo unakuta clinical medicine ko naomba ufafanuzi kwa anaye jua utofauti wake wadau
  3. M

    Ni mafuta gani ya Mnyonyo yanayotumika kupanga Uzazi?

    weee amina unataka kupanga uzazi mapema hivyo
  4. M

    nauliza vyuo vya privet vinavyotoa aplication form kwa mwaka 2015/2016 kwa course ya clinical office

    samahan sana ndugu zangu kwa anaye jua vyuo vya afya vinavyotoa course ya clinical officer ktk certificate na diploma naomba mnijulishe wadau pia ada zake na mahali kilipo
Back
Top Bottom