samahani ndugu zangu simu yangu inasumbua upande wa meseji huwa zinaingia bila kikomo unakuta sms ya majuzi niliyosoma na nikajibu inakuwa bado inaendelea kuingia yaan mpaka ninechoka kama kuna mtu anafahamu setting yake ajize wana jf simu yangu ni tecno p5 phone namba yangu 0719560330
samahani wadau nilitaka kujua utofauti kati ya clinical medicine na clinical officer.
kwasababu vyuo vingi ukiseach for clinical officer but ukija kuangalia course za hicho chuo unakuta clinical medicine ko naomba ufafanuzi kwa anaye jua utofauti wake wadau
samahan sana ndugu zangu kwa anaye jua vyuo vya afya vinavyotoa course ya clinical officer ktk certificate na diploma naomba mnijulishe wadau pia ada zake na mahali kilipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.