Recent content by Mbabane

  1. M

    Kumbe Mwigulu Nchemba ni so fluent in English! Nilikuwa sijui maana nina kasumba fulani hivi

    Sasa mim na wewe nani hajui English ndugu? Doesn't make one smart real? Utachekwa wewe
  2. M

    Kumbe Mwigulu Nchemba ni so fluent in English! Nilikuwa sijui maana nina kasumba fulani hivi

    Upo sahihi kabisa English isiwe kigezo cha kutufanya tuonekana tunajua au hutujui ni lugha kama lugha nyingine tu. Tuwafundishe wanetu njinsi ya Kutengeneza remote na toy cars na Vinginevyo vitu kwa kutumia lugha yetu Inawezekana wajameen. Speaking English doesn't make one to be smart period
  3. M

    Umoja Party: Najitolea kujenga Ofisi

    Ndugu Zetu wa CCM wameridhia kisajiliwe? Maana wao hujifanya wamilik wa Tanzania
Back
Top Bottom