Kikubwa ni kwamba kile ambacho utopolo mlibeza kwamba ni kichaka Cha ranks za Caf mmeshindwa kukifeka,yani badala ya kufikiria kutinga robo fainali nyie mlifikiria kuipita Simba kwenye rank za caf
Sipati picha huyu bondia aliyesababisha kifo Cha mwenzie yupoje kisaikolojia,ni ujiko kusababisha kifo ulingoni?atakosa mapambano mengine kwamba ngumi zake Zina mikosi?
Wewe una akili kweli?hivi umesahau kuwa yanga alifungwa Moja bila na al ahly misri wakati Simba alidroo na al ahly huko huko misri? kweli mume wako hapo Hana mke ila ni kituko tu
Ni aibu sana nchi yenye ligi namba 5 Kwa ubora Africa kutokuwa na Mwamuzi hata m1 huko AFCON.Hivi nyie waamuzi wetu wa Mpira wa Miguu ni lini mtatuondolea hii aibu?
Rwanda na Burundi nchi ndogo kabisa zimepeleka waamuzi nadhani Kuna haja ya TFF kuagiza waamuzi kutoka nchi nyingine kuja kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.