Sawa,Kama amefanya yote hayo,kwa nn alijiteua kuwa mgombea badala ya kupita kwenye mchakato halali. Mbona anaogopa tume huru ya uchaguzi...Eti SSH Ni mgombea au mteule wa uraisi kupitia Jk. Kura yako haina maintiki yoyote badala ya kupoteza muda kupanga poleni bora ukacheze mdako na mkeo
Mungu safisha na ulitokomezee mbali na hapa duniani lile genge la kijani na manjano pamoja na uzao wao wote sababu ,limekuwa laana kubwa kwa taifa hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.