Recent content by MAYONCE2

  1. M

    Zari white party

    Hv ndivyo mastaa wa bongo wanavyo ishi dah! Daimond naona unataka kulelewa sasa me nilijua ma miss tu wanapenda kitonga kumbe hadi ww
  2. M

    Flora Mbasha: Emmanuel hakuwa chaguo langu

    Lkn sisi wote ni wasikilizaji na watazamaji ya ndani kwao sisi hatuyajui hta kidogo inawezekana mambo ya gwajima,kubaka pengine yacwepo au pia yakawepo lkn chanzo chenyewe hakika hakiwezi kuwekwa wazi sasa bac wao pekee ndiyo wanajua ni nn kinaendelea kwa hyo msimseme saana flora upande wa...
  3. M

    xmass

    hahaha tunackilizia fumanizi tu cjui atakuwa wangu au wa fulani full pressure
  4. M

    xmass

    hapana jamani inauma hatuna amani kabisa na ndoa zetu roho juu kwa ajiri ya michepuko
  5. M

    xmass

    Jamani xmass ndiyo hyo yaja lkn cha ajabu watu badala ya kupumzoka na wanaume zetu badala yake michepuko wanakuwa wanapata nafac hyo magest yatajaa watu watafumaniana jamani wanaume wetu tafadhari mwaka huu naomba iwe zamu yetu njia kuu
Back
Top Bottom