Recent content by Mayoge71

  1. M

    Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

    Umeongea vizuri sana kwamba "kama anajali hilo lakini"
  2. M

    Watu wa kanda ya ziwa ni waungwana sana

    Maswali ya msingi sana hayo mkuu
  3. M

    Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

    Ndugu yangu, vitu na watu hawafanani hata kidogo. Hata hao ambao unaona wamestaarabika bado hawafanani. Lazima wanapishana kiwango cha ustaarabu. Ni kama vilivyo vidole vya mkononi, havifanani kwa urefu na hata unene na hata michoro, lakini kila kimoja kina umuhimu wake ktk mwili wa binadamu...
  4. M

    Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

    Duh bwana shemeji umeamua kuja kutuanika huku? Kumbuka mkeo amelelewa na kukulia katika utamaduni huu huu ambao una uponda hapa lakini ulimuona ukaja kumchumbia
  5. M

    DOKEZO Massana Hospital Mbezi Beach mnalazimisha rushwa

    Mie huwa ninatibiwa hapo mara zote. Sehemu mbalimbali wamebandika namba za simu ambazo kama una shida au umekutana na changamoto basi ukipiga namba hizo unasaidika vizuri tu. Ingelikuwa vema ukapata namba hizo afu ukamtaja huyo anaekwamisha utoaji wa huduma ili aweze kuwajibishwa badala ya...
Back
Top Bottom