Hata mm nina tatizo hilo! nasikia tu kama kuna kufika kileleni tangu nianze haya mambo cjawahi kufika! sasa sijui tatizo ni nini, ukipata msaada nijuze nami
Umefanya vizuri sana! usifurahie mateso ya mwanamke mwenzio jua na ww yatakukuta km unavyomfanyia mwenzio, siku zote tenda mema mungu atakupa faraja. Umenifurahisha kwakweli, mungu akubariki sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.