ningependa kutanguliza salamu kwa wanajf wote kwani mmekuwa msaada sana katika kupeana habar
ningependa kuuliza maswali kuhusu CHUO cha DIT kwa anayekifahamu
1)elimu ya pale ni ya aina gani is it more theoretically or practically
2)vipi kuhusu hostel za main campus first year student under...
lkn hyo bachelor ya electrical and biomedical engineering ni special kwa diploma holders tu WA biomedical engineering ambayo inatolewa ATC utaratibu WA form six kwenda moja kwa moja bado haupo na pia wanahitaj watu 25 tu mwaka huu
njoo tu mkuu ila kama umetokea six ukakaze sana mana six wengi wanarud nyumban wanaomaintain weng n WA diploma
course IPO poa DIT ila uje na msuli WA kutosha kudisco n kugusa tu
hahhaa watanzania bhn bado wanawaza kuajiriwa kiufup kozi n nzur Sana kwa kujiajiri IPO must pale
note: ukisoma engineering usibez sana upande WA kuajiriwa waza kujiajiri
samahan wana jamvi nilikuwa naulizia kuhusu kuapply nje kwa kutumia diploma inakubalika hasa kwa nchi kama south africa china india na etc kwa kozi za engineering
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.