Asee achana na hiyo chombo inaitwa Lema, huyo Lema kwa wanaarusha ni habari nyingine,. Ubunge wa kupewa unampa Sukuma Gang mashaka juu ya ujio wa mwambha Lema
Watu wa Arusha yaani wameru, wamasai na wachaga hii ni zaidi ya sherehe,. Yaani katika maandamano ya kumpokea Lema lazima niwepo hata kwa dawa, labda nife kabla hajafika
Naona wenye mamlaka kwakuwa wanakula, wanasafirishwa, wanatibiwa na wanasomeshewa watoto bure kwa kodi yetu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa, njooni mtaani huku hatutaki hata kusikia jina lake, hata wanaoitwa samia wamebadili majina 🚮🚮🚮
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.