Maridhawa kabisa na ninafurahi kupata mawazo kutoka kwa mtu aliye jaribu. Karibu sana.
Maswali yangu kwako:
Chief asante sana kwa mchango wako... asante sana..
Asante sana mdau, umenipanua mawazo kwa undani sana. Nadhani moja kubwa kabisa ni kama ulivyo sema hapo juu; tamaduni za ku-outsource huduma kwa makambuni na taasisi haujawa na mwamko au bado haujapata mhamasishaji na muelimishanji.
Kuh graduates kua na awareness sidhani kama ni tatizo...
Nauliza kama jukwaa au soko la freelancers au wafanyakazi huru linaweza kua na tija au uhitaji kwa Africa mashari au hata Africa kwa ujumla. Kwa kiasi flani watu wengi naona wako Fiverr, Upwork etc ambayo ni makampuni ya Marekani au ughaibuni huko.
- Najua vijana wanahitaji na wako tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.