Samahani wakuu, mimi ni mwanafunzi niliyehitimu form four mwaka jana2018.. nilikuwa naomba kuulizia kwamba... inawezekana mtu aliyepata Division one kupangiwa vyuo vya afya na Tamisemi.....ingawa ni yeye ndiye aliyechagua kwenye selform
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.