Idadi ya Polisi ilikuwa ndogo kuliko ninyi
Afu mukazuga kama hamuoni mwenzenu
NoReNoE haikuwa kwenye serikari tu ilikuwa na Kwa sisi Wajinga Ambao atuwezi kudai haki zetu front zaidi ya Mtandaoni Tubadilike.
Mbowe nilimuelewesha sa Sijui kawapotosha nani?
Kwangu Tukana Vua nguo Hila nasema wafuasi wa NoReNoE hamkuelewa falsafa inamaanisha Nini Mulikulupuka Sasa tuliene mwenye wazo niwape maana Matusi Ruhusa
Kama Mbwa 20 Wanawapiga Mbwa 150+ wanaotaka mabadiliko uku kisheria awajatenda kosa basi hao Mbwa 150+ ni majike tu mbele ya madume 20...
Shukrani Kiongozi
Mushapigwa, tena ni Mbele ya Mahakama Afu munaangaika Na NoReNoE uku ninyi mumeshindwa hata kubadilika tunawataka wanaume kama Nepal
Tanzania wanaharakati wa nyuma ya Keyboard ni Wajinga tu kama Wajinga wengine mamaee Zenu
Nakushauri kuwa muulize muhasisi wa NoReNoE ameipata wapi na ilikuwa na dhamila
Nilimshauri Mbowe NoReNoE sio makaratasi pekee pia NoReNoE Wajibu Kwa watu wetu wafanye mabadiliko tuwe tayari kuifuata Sheria na Katiba pasipo kuyumba.
Sasa ninyi wanaharakati wa mtandaoni mumeifanya kama mchezo...
NoReNoE
hoja dhaifu Kwa kitendo Cha Polisi 20 kuwatawanya wanachama wa Chadema 150+ pale mahakamani
Wewe na wengine wengi muko mtandaoni mukijifanya wanaharakati
Madiliko yanapaswa tuanze wanachama kujitoa kusimamia Sheria na Katiba Sio ikivunjwa ndio tuje na NoReNoE ni Uboya
#Leo nimeumizwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.