Ni baya lipi alilolifanya Nape, kama Nape kisiasa? Tunamchukia kwa chuki za kulazimisha, yeye ametenda Yale ambayo chama chake kili amini na kina amini kuwa ni sahihi. Yeye alikuwa ni katibu wa itikadi na uenezi, na akatenda yaliyo ndani ya kazi yake. Na kwa ustaarabu uliotukuka alipi maliza...
Ni upumbavu watu kujadili kauli ya viongozi wenye kutetea hali ya waliodhulumiwa maisha yao. Kwa watu wenye weledi wa mambo ya kisheria kama hawa, inawawia vipi vigumu kuelewa kuwa kauli ile hakulenga kuvunja haki za binadam? Mkuu wa mkoa ameguswa na tukio hili la kikatili, na ameongea kwa hisia...
Siku zote huwa namuona huyu mama kama mchumia tumbo tu...sijawahi kuona concern yake juu ya tukio hili la kusikitisha, yeye anasubiri viongozi wa serikali watoe kauli zao ili apate ya kuongea, ETI haki za binadamu, hao walio uwawa ni ng'ombe?
Nimekupata mkuu, ukitaka tuyagrind (kuyapiga msasa) ili yawe na smooth surface tunafanya pia, ukitupa oder yako na maelekekezo uyatakayo tunakufanyia tu
Mkuu haya ni mawe halisi,muundo wake niwa slate na hujulikana kama slate stones na nimaarufu kama Tanga stones kwa sababu hupatikana zaidi mkoa wa Tanga. Kwa kifupi ni mawe ambayo hutumika kwa urembo wa nyumba na maofisi,yanapendeza sana kwa finishing,unaweza kutumia chini badala ya pavers...
Hayajawa polished, kwasababu kwanza kuna polish tofauti tofauti hivyo kufanya mteja awe na choice tofauti,zipo polish ambazo ukipaka zitabadilisha uhalisia wa jiwe,zipo polish ambazo Zita ya ng'aza mawe lakini yakabaki kuwa na muonekano halisi usio na shaka. haya yote ni matakwa ya Wateja ndio...
Ninauza mawe ya Tanga stone yaliyo katwa Tayari. Square meter moja nauza ni kati ya Tsh 35,000 na Tsh 60,000 inategemea na aina ya mkato (cutting style)
Wasiliana nami kwa namba hii 0758484166/ 0766111711
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.