Recent content by mawe craft

  1. mawe craft

    Tanga stone (slate stone)

    Mawe crafting inawakaribisha wote kwenye offer ya Christimas na mwaka mpya
  2. mawe craft

    Nape awaomba msamaha wapinzani na watanzania kwa ujumla

    Ni baya lipi alilolifanya Nape, kama Nape kisiasa? Tunamchukia kwa chuki za kulazimisha, yeye ametenda Yale ambayo chama chake kili amini na kina amini kuwa ni sahihi. Yeye alikuwa ni katibu wa itikadi na uenezi, na akatenda yaliyo ndani ya kazi yake. Na kwa ustaarabu uliotukuka alipi maliza...
  3. mawe craft

    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imesikitishwa na matamshi ya RC Paul Makonda

    Ni upumbavu watu kujadili kauli ya viongozi wenye kutetea hali ya waliodhulumiwa maisha yao. Kwa watu wenye weledi wa mambo ya kisheria kama hawa, inawawia vipi vigumu kuelewa kuwa kauli ile hakulenga kuvunja haki za binadam? Mkuu wa mkoa ameguswa na tukio hili la kikatili, na ameongea kwa hisia...
  4. mawe craft

    Ninauza Tiles za Tanga stone

    Wacha nianze kumwaga Vitu, thanx kaka
  5. mawe craft

    Dr. Helen Kijo Bisimba kamjia juu mkuu wa mkoa wa Dar kwa matamshi yake

    Siku zote huwa namuona huyu mama kama mchumia tumbo tu...sijawahi kuona concern yake juu ya tukio hili la kusikitisha, yeye anasubiri viongozi wa serikali watoe kauli zao ili apate ya kuongea, ETI haki za binadamu, hao walio uwawa ni ng'ombe?
  6. mawe craft

    Ninauza Tiles za Tanga stone

    Napatikana hapa boss wangu! 0766111711
  7. mawe craft

    Ninauza Tiles za Tanga stone

    Nimekupata mkuu Masanja....napatikana hapa 0766111711
  8. mawe craft

    Ninauza Tiles za Tanga stone

    Tu Kwa Dar tutakuletea kuanzia SqM 30 boss
  9. mawe craft

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Kama kweli alitamka hayo, atueleze kusudi lake hasa ni nni?
  10. mawe craft

    Tanga stone (slate stone)

    Nimekupata mkuu, ukitaka tuyagrind (kuyapiga msasa) ili yawe na smooth surface tunafanya pia, ukitupa oder yako na maelekekezo uyatakayo tunakufanyia tu
  11. mawe craft

    Tanga stone (slate stone)

    Shukran
  12. mawe craft

    Tanga stone (slate stone)

    Mkuu haya ni mawe halisi,muundo wake niwa slate na hujulikana kama slate stones na nimaarufu kama Tanga stones kwa sababu hupatikana zaidi mkoa wa Tanga. Kwa kifupi ni mawe ambayo hutumika kwa urembo wa nyumba na maofisi,yanapendeza sana kwa finishing,unaweza kutumia chini badala ya pavers...
  13. mawe craft

    Tanga stone (slate stone)

    Hayajawa polished, kwasababu kwanza kuna polish tofauti tofauti hivyo kufanya mteja awe na choice tofauti,zipo polish ambazo ukipaka zitabadilisha uhalisia wa jiwe,zipo polish ambazo Zita ya ng'aza mawe lakini yakabaki kuwa na muonekano halisi usio na shaka. haya yote ni matakwa ya Wateja ndio...
  14. mawe craft

    Tanga stone (slate stone)

    Napatikana Morogoro na Tanga, karibu sana
  15. mawe craft

    Tanga stone (slate stone)

    Ninauza mawe ya Tanga stone yaliyo katwa Tayari. Square meter moja nauza ni kati ya Tsh 35,000 na Tsh 60,000 inategemea na aina ya mkato (cutting style) Wasiliana nami kwa namba hii 0758484166/ 0766111711
Back
Top Bottom