HUKU mjadala juu ya muswada wa mabadiliko ya sheria za vyama vya siasa nchini ukiendelea, wanaharakati nao wameamua kuvunja ukimya na kudai wanashangaa kwanini sheria nzuri namna hii imechelewa kuletwa nchini.
Tayari baadhi ya vyama vya siasa vimeshapeleka zuio mahakamani, kutaka muswada huo...
SAA chache baada ya Rais Dk. John Magufuli, kugawa vitambulisho 25,000 vitakavyowatambulisha wafanyabiashara wadogo nchi nzima, tayari katika baadhi ya wilaya wafanyabiashara wadogo wameshaanza kupeleka maombi kwa ajili ya kupatiwa vitambulisho hivyo.
Vitambulisho hivyo, vitawatambua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.