Recent content by mavya

  1. mavya

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Hakuna kipengele kinachozungumzia uuzwaji wa Bandari, na hakuna mkataba wowote ulioingiwa

    Huyu jamaa sijamuelewa hata kidogo hata sijui alikuwa anasema nini? Tatizo serikali imeshindwa kutoa majibu kwenye maswali mhimu. Ndo maana jaya AG hana cha kujibu hana
  2. mavya

    Mbona Zambia imekuwa inaleta sana chokochoko kwa Tanzania kama Kenya hapo zamani? Kuna nini Nyuma ya Pazia?

    Nawapongeza Zambia kwa hatua hizi wanazochukua dhidi ya Watanzania kwa sababu wanatufundisha akili na kutupa maarifa sisi huku kwetu geti tumeliacha wazi watu wanaingia na wanafanya wanavyotaka lazima ifike hatua na sisi tuweke mikakati vizuri. Mfano kuifikia DRC bila kupita Zambia ni jambo...
  3. mavya

    Mwamba Mpina abishana na Bunge zima, wamzomea. Asimamisha Bunge kwa dakika 20

    Hii Nchi inapita kwenye wakati Mgumu sana. Ndo maana wanalia sana majimbo yagawanywe. Tunasubiri uchaguzi
  4. mavya

    Rais Samia: Nakusudia kuunda Wizara nyingine 3 ambazo zitakuwa chini ya Ofisi ya Rais

    Kuna shida kubwa sana ya kiutawala kwa awamu hii . Nafahamu mama anakusudia kuanzisha wizara mpya ili awapange washikaji wala si lolote, kwanza mpaka sasa tuna wizara nyingi ambazo hazina tija yoyote kwa taiafa. Ukiona hivyo kuna wamba wamekataa uteuzi wowote ule bali wanataka uwazori. Kuna...
  5. mavya

    Ukiona gari limejaa tope ujue limetoka Kigoma

    Ni mkoa gani ambao hauna washirikina nchi hii? Hata wewe ni mshirikina.
  6. mavya

    Ukiona gari limejaa tope ujue limetoka Kigoma

    Ni aibu sana wakati ni wazawa wa Kigoma
  7. mavya

    Mkuu wa Mkoa Songwe ni Mtanzania? Jina kama Mkongo au Mrundi?

    Uraia unapimwa kwa sheria pekee na wala siyo Jina.
  8. mavya

    Ukiona gari limejaa tope ujue limetoka Kigoma

    Nimefanya Tafiti ndogo kwa ndani ya miezi sita sasa, kwa sasa ukiwa road ukaona gari limejaa tope uko mkoani basi usiùlize limetoka wapi jua tu limetoka Kigoma. Kwa sababu mpaka sasa toka tupate uhuru Kigoma pekee ndo mkoa ambao haujaunganishwa na mikoa mingine kwa lami.
  9. mavya

    Usiri ajira TISS

    Kuna vitu vinafanywa usiri wakati hajikutakiwa kuwa vya siri, na usiri huu unaofanywa unakuta ni terget tu ya kuweka watu wao wanaowataka, na ndo maana tunapata watu wasio na weledi na wenye IQ ndogo sana kiutendaji yawezekana ni mkakati tu wa mtu. Kinachotakiwa watangaze nafasi za kazi watu...
  10. mavya

    Anachokifanya Hamisi Kingwangalla kuhoji kuhusu mabehewa yaliyonunuliwa ni kwa nia ovu, ni vyema ajibiwe

    Nchi mumeuza, mumeigawa vipande vipande, maisha yamekuwa magumu mno, rushwa imetanda kila kona, ufisadi umetamaraki kila kina, vitu mhimu vimepanda Bei mara dufu,. Jicho legevu nchi imemushinda miradi ya Maendeleo yote imesimama. Magufuli tunakukumbuka wote hata hawa wanaoimba mapambio kila...
  11. mavya

    Mbunge John Heche alidharau Bunge, aliita Bunge la vilaza na chawa wengi

    Ni kweli tuna wabunge Vilaza kweli kweli, hawa wabunge siyo chaguo la wananchi ndo maana wanatukomesha ili tukomee na tupate cha moto kabisa, Hakuna Mbunge aliyeko Bungeni aliyechaguliwa na wananchi hivyo hawako Bungeni kutuwakilisha bali wako Bungeni kuchochea na kuhamasisha Uchawa. Huwezi...
  12. mavya

    Marais wanaoapa kwa kutumia Kitabu cha Quruan hupendelea Uongozi shirikishi tofauti na wale wengine!

    Kwanza kabla hujaandika umefanya tafiti? Nchi zinazoongoza kwa ukatili, utesaji, unyanyasaji, Rushwa, ubaguzi wa hali ya juu, na Dhuluma viongozi wao wengi wameapa kwa Msahafu. Any way binafsi napinga sana viongozi hasa viongozi wa kiafrika kuapa wakiwa na vitabu vitakatifu kwasababu huwa...
  13. mavya

    Kwanini CDF aitwe Mkuu wa Majeshi wakati Polisi, Magereza na Uhamiaji wana wakuu wao?

    Jeshi ni nini? Tuanzie hapa na ili iitwe Jeshi linapaswa kuwa na sifa gani?
  14. mavya

    Vyama vya Upinzani toeni kauli juu ya tozo hizi

    Ni kweli ukimuamini sana mwanasiasa ipo siku tutap8gwa za uso mchana kweupe. Wananchi tuamue sasa.
  15. mavya

    Rais wa Nchi anaitwa Nyapara! CHADEMA ni vyema muwadhibiti hawa vijana wenu akiwemo Mdude

    Unyampara unakuja kutokana na maamuzi yake, unyonyaji wake kwa wananchi wanyonge, Rushwa imekithiri. Nyampara ni mtu frani ambaye hana huruma hata kidogo, kwa Tozo hizi zinazoendelea sijawahi kumuunga mkono Mdude lakini kwa hili mama ni Nyampara. TOZO TOZO TOZO TOZO BADO TOZO LA BAO.
Back
Top Bottom