Huyu mwana siasa wa kweli na safari aijaanza hiyo2 odinga anauchungu wa kuikomboa nchi unajua sababu ya kughairishwa uchaguzi tusiongee kiushabiki hile kama kazi au ajira penye pesa hata wewe lazima utafanya kila jitihada ili upate
Inawezeka kwa sababu huku vijiji hali mbaya sana jua kali kazi hakuna hata wafanya kazi hamna mzunguko wa pesa hamna mkoa wetu wa pwani kuna kiwanda kikubwa kabisa kufanya kazi humo ni bora ukalime kibarua huko wenzet mijini kuna miradi mikubwa ya kupata pesa lkn sisi huku bado hatujaguswa sisi...
hasa huku vijijini elim bado inapatikana katika mazingira magum sana wengine ndugu zetu wamesoma hadi six lkn uwezo wa kuendelea na masomo hawana body ya mikopo imeweka mashart kibao tofaut na inavyokua imepelekea wengi wao kukosa mikopo tunao mitaani kwa hali kama hii nchi yetu inaendeleaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.