Kabla ya KUANZA kufuga, unapaswa kuwa na Elimu bora na sahihi ya ufugaji.
Inayo husisha. lishe, malezi na magonjwa Tu basi.
Ukiyajua hayo ninakuruhusu uanze ufugaji.
CHANGAMOTO NI ELIMU BORA YA UFUGAJI WA KUKU.
Kabla ya kuanza ufugaji, Kuna vitu muhimu unapaswa kuvifahamu kiundani.
Hapa inahusisha ufahamu wa
AINA YA KUKU unataka kuwafuga kibiashara.
DHUMUNI la kuwafuga, Ili kuepuka hasara Hata wasipokufa Kwa magonjwa, Bado unaweza pata hasara kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.