Recent content by maua abdulrahman

  1. M

    Mwenye maswali yanayoulizwa kwenye peper ya assistance tax management officer

    B Boss kwangu hata hayafunguki sijui kwa nn document inasoma bin badala ya pdf
  2. M

    Mwenye maswali yanayoulizwa kwenye peper ya assistance tax management officer

    Mimi haifunguki na doc imejiandika bin na sio pdf nifanyeje ili ifunguke na Mimi niweze kujiandaa
  3. M

    Mwenye maswali yanayoulizwa kwenye peper ya assistance tax management officer

    Boss Mimi haifunguki na doc imejiandika bin na sio pdf nifanyeje ili ifunguke na Mimi nipate kuyapitia hayo maswali ili nijiandae
  4. M

    Kujisajili TAESA kwangu ni tatizo

    Habari wapendwa, Hivi kujisajili taesa inakuaje au sasa hv mfumo haufanyi kazi? Maana toka juzi nahangaika kujisajili haifiki popote ina search kwa muda mrefu inaandika tu contacting website again nakuendelea ku load tena na tena mwishowe inaandika Google couldn't reach the internet. Sasa...
  5. M

    Kujisajili na portal ya taesa

    Kila nikijiunga inakataa nahisi labda nakosea
  6. M

    Kujisajili na portal ya taesa

    Habari ndugu zangu. Naomba kuelekezwa jinsi ya kujiunga na portal ya taesa
  7. M

    Uzoefu wa kazi katika interview

    Shukran sana ndugu yangu mungu akulipe yaliyo mema
  8. M

    Natafuta kazi ya Uhasibu na Usimamizi wa Fedha

    Umeandika Umeandika vizuri hadi nimependa ningekuwa na kampuni ningekuajiri
  9. M

    Uzoefu wa kazi katika interview

    Habari wapendwa. Hivi kwenye interview Kuna swali la uzoefu wako katika kazi hiyo uloomba mfano muhasibu aidha wanakuambia wa mwaka au miaka mi2 swali hili naweza jibu vp ikiwa sijawahi ajiriwa toka kumaliza chuo na kazi naitaka?
Back
Top Bottom