Recent content by matwin

  1. M

    Chakula kwa mtu wa operation

    Tangu siku anaruhusiwa docta alisema ale kila kitu sasa hofu yetu ni kwamba je akipata choo kigumu. Ndio maana tunauliza kwa wengine tupatiwe ushauri... hii ni wiki ya tatu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Chakula kwa mtu wa operation

    Sio ubahili mkuu hii ni wiki ya tatu sasa na anakula kila wakati anapojisikia... ila sasa kula kila siku kitu kilekile ni changamoto... docta ameruhusu ale kila kitu ila sasa hofu ni kupata choo kigumu... ndio maana tunauliza kwa wengine Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Chakula kwa mtu wa operation

    Habari wana jf .... samahani naomba kufahamishwa ni lini hasa mtu aliyejifungua kwa operation anaweza kuanza kula kawaida tofauti na ndizi au viazi. Kwani havikai tumboni na mtoto ananyonya saana kwa hivyo unakuta muda wote mama ananjaa. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Dawa ya Ceftriaxone kwa mjamzito

    Asante saana GOD BLESS YOU........
  5. M

    Dawa ya Ceftriaxone kwa mjamzito

    Uti ipo >100 per cell... amoxicillin nimetumia na cephalexin nimetumia haiishi
  6. M

    Dawa ya Ceftriaxone kwa mjamzito

    Asante saaana.
  7. M

    Dawa ya Ceftriaxone kwa mjamzito

    Kwani ni vibaya kuuliza? Si unapata elimu zaidi
  8. M

    Dawa ya Ceftriaxone kwa mjamzito

    Wadudu wapo above 100 wanasema imekua kali saaana
  9. M

    Dawa ya Ceftriaxone kwa mjamzito

    Msaada wenu plz madactari
  10. M

    Dawa ya Ceftriaxone kwa mjamzito

    Habari zenu jmn.... hii dawa ya kuchoma kwenye mishipa kwa mjamzito kwa ajili ya uti ni salama? haiwezi kuleta madhara kwa mtoto. ujauzito ni wa wiki 28...
  11. M

    Kipandauso (migraine): Chanzo, Dalili, Tiba na jinsi ya kujikinga na tatizo hili

    Naomba msaada juu ya maumivu ya kichwa upande wa kushoto karibu na jicho yanayokuwepo usiku na asubuhi. Nimeenda hosp nimepewa panadol. Kwa anayejua namna nyingine anisaidie kwani dawa siwezi tumia saana kwa wakati huu.
  12. M

    Tatizo la kuona kwa mjamzito

    Madaktariiii
Back
Top Bottom