Tangu siku anaruhusiwa docta alisema ale kila kitu sasa hofu yetu ni kwamba je akipata choo kigumu. Ndio maana tunauliza kwa wengine tupatiwe ushauri... hii ni wiki ya tatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio ubahili mkuu hii ni wiki ya tatu sasa na anakula kila wakati anapojisikia... ila sasa kula kila siku kitu kilekile ni changamoto... docta ameruhusu ale kila kitu ila sasa hofu ni kupata choo kigumu... ndio maana tunauliza kwa wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jf .... samahani naomba kufahamishwa ni lini hasa mtu aliyejifungua kwa operation anaweza kuanza kula kawaida tofauti na ndizi au viazi. Kwani havikai tumboni na mtoto ananyonya saana kwa hivyo unakuta muda wote mama ananjaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu jmn.... hii dawa ya kuchoma kwenye mishipa kwa mjamzito kwa ajili ya uti ni salama? haiwezi kuleta madhara kwa mtoto. ujauzito ni wa wiki 28...
Naomba msaada juu ya maumivu ya kichwa upande wa kushoto karibu na jicho yanayokuwepo usiku na asubuhi. Nimeenda hosp nimepewa panadol. Kwa anayejua namna nyingine anisaidie kwani dawa siwezi tumia saana kwa wakati huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.