Recent content by Matubakhamis

  1. Matubakhamis

    Rais Museveni asema Wananchi wake ni wavivu sana, hata mtu mjinga anaweza kuishi Uganda

    Nikupe jembe ukalime halafu me unipe urais hapo ndy utajua maisha ya Uganda ni marahisi au cyo marahisi we mbona umekaa madarakani miaka 37 halafu unasema watu wavivu Toka kwenye urais ndy utajua maisha ya kitaa
  2. Matubakhamis

    Wazazi msipowafuatilia watoto wenu chuo mtajutia mwishoni

    Kila kitu kinachotokea kwenye jamii huwa kinaanzia kwenye familia Yani baba na mama ,baba kazi yake huwa ni kutimiza mahitaji ya familia kama chakula,mavazi na makazi na mama kazi yake huwa ni kulea familia. Sasa wazazi wengi huwa hatuna utaratibu wa kukaa na watto wetu na kuwauliza changamoto...
  3. Matubakhamis

    Je, ni sahihi kurithi na kuvaa nguo za marehemu?

    Si vyema kuvaa nguo kwa sababu kila mtu huwa na bahati yake wengine huwa na malaana ya kurithi
  4. Matubakhamis

    Muda sahihi wa kupata mlo wa usiku

    Njia sahihi ya kupunguza uzito ni kuacha kula zingine ni story mfano mazoezi mtu kufanya mazoezi ni kuchoma calories e.g mtu amekimbia km3 kachoma 100 calories but akirudi na njaa anakula wali nyama,maziwa kidogo anaingiza Tena zaidi ya calories 100
  5. Matubakhamis

    Kabla ya kupandisha nauli ya Mwendokasi, DART zingatieni uchafu na huduma mbovu vituo vya Mwendokasi

    Pia magari mengine ya mwendokasi ni mabovu sana hasa magari ya Morocco mengi yameharibika,Pia waongeze magari ya mwendokasi wakati wa jioni kunakuwa na shida sana ya usafiri wa kutoka kivukoni kwenda kimara na kutoka gerezani kwenda kimara
Back
Top Bottom