Ni kweli kiongozi inasikitisha sana kuona wasoma tunafumba macho kuhusiana na mambo kadha wa kadha yanayoendelea nchini ukiwepo mchakato wa MTWARA,nimekuwa nikijiuliza huenda hatuna wasomi Tanzania bali tuna wasomaji tu,nina kila sababu yakusema hivyo 1.Tumekuwa ni watu wa kupigania posho tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.