Ninaamini unazungumzia Rush toleo la kwanza j200 na j210. Hii gari nimetumia kwa muda sasa zina engine mbili tofauti k3 (1300 cc) na 3sz-fe 1500cc. Binafsi nakushauri uchukue 3sz kwaajili ya nguvu.
Changamoto kubwa ya hii gari ni mafundi. Hii gari ni daihastu, mafundi wengi zinawazingua hasa...
Thanks,
Kwenye matunzo sidhani kama kuna utofauti wowote, labda matumizi ya mafuta kwenye Rush yanaweza kuwa juu kidogo ya IST hii inakupa 13-14km/L (hii nimejaribu mwenyewe), ila hili ni 2WD kuna yenye AWD yanaweza yakawa na ulaji mkubwa kidogo. Pia engine yake ni 3SZ 1495cc, kama utahitaji...
Nimetumia hii gari kwa muda sasa
1. Kudumu (Relibility )
Hii ni gari ambayo haikupi kabisa mawazo hasa kama unazingatia muda wa kufanya service, binafsi haijawahi kunipeleka gereji zaidi ya kumwaga oil na kwenda kufunga radio. Ingawa kuna baadhi ya watu wanalalamika kwamba sterling yake huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.