Recent content by matinel

  1. M

    Blue card ya pikpiki

    Nimekupata bro
  2. M

    Blue card ya pikpiki

    Hii imesajiliwa na campuni kaka haina issue kwangu
  3. M

    Blue card ya pikpiki

    Wakubwa habari za saiz , juzi nimeenda kununua pikpiki nikashangaa napewa kadi kama copy hivi , namuliza vip mbona hii nikama kopy yani nyeupe kabisa , nikambiwa saiz TRA kadi zinatoka plain nyeupe hivyohivyo tofauti na zamani zilikuwa zinatoka kama za gari tu , naombeni kujua hii kitu ni kweli ??
  4. M

    Usajili wa pikipiki

    Kinachofanyika najua ni hicho hicho ila kwasababu huku mikoani ni mawakala ambapo ukichukua piki piki unawachia hiyo tin number then zikija ndiyo wanakupigia lakin mim hoja yangu nilitaka incase nataka kusajili mwenyewe requirements ni zipi
  5. M

    Usajili wa pikipiki

    Wakubwa kwema ,, naombeni mnisaidie namna ya kusajili pikipiki maana mwezi uliopita nilinunua pikipiki aina ya kinglion kama tatu hivi nikawapa vijana sasa sikupewa kadi kwa maana ya kwamba saiz mfumo wa kusajili kwa jina la kampuni hawafanyi saiz , hivyo mteja ndiyo anatakiwa anaacha Tin number...
  6. M

    Diff ya toyota noah

    Wakubwa kama kichwa kinavyojielezea hapo nataka nipate diff ya noah two wheels maana iliyopo inapiga kelele sana aisee sasa nataka nibadilishe sasa naomba kujua gharama yake maana naona kabisa dalili za kupigwa hapa
  7. M

    Gari lipo garage

    Gari saiz wakubwa imeshakaa vizuri sana huyu fundi pamoja na kuninunulisha spare kazaa lakin nimeona kazi ilivyofanyika kesho naanza kuzitafuna km kuelekea ruvuma gari imetulia saiz vizuri sana ila wakubwa ukiamua kumiliki gari aisee hakikisha mfuko wako uko vizuri otherwise gari yako itaozea...
  8. M

    Gari lipo garage

    Wakubwa saiz ndo nimetoka garage na kazi bado ,,, unajua ilikuaje ? Mwaka jana kuna jamaa alikuwa anauza gari yake aina ya noah , ambayo ilikuwa inapiga route za kule nyumbani kutoka kijijin kwenda mjini , na aliamua kuuza baada ya kuona watoto wa shule wamemtinga kidogo hivyo kwasababu na mimi...
  9. M

    Gari lipo garage

    Wakubwa niombeeni nipo garage yani mwendo wa kununulishwa spare tu ila ntawambia changamoto niliokutana nayo nikitoka for experience
  10. M

    Nissan xtrail

    +255759375499
  11. M

    Nissan xtrail

    Hahahhahahahhaha kabisa baba
  12. M

    Nissan xtrail

    Wakubwa mtakumbuka hapo juzi niliwandikia kuhusu xtrail yangu kushtuka shtuka ikikfika rpm ya 40 kwenda 60 hapo n mkanishauri kuwa tafuta plug og na kuna member aliniambia kuna jamaa wanaitwa gathani to limited nikaongea nao , kwanza kabla ya kuongea nao nikangalia plug ambazo zilitoka na gari...
  13. M

    Spark plug

    Sasa wewe ulizipata wapi baba
  14. M

    Spark plug

    Thanks mkuu
Back
Top Bottom